Tafiti mbali mbali zimebanisha kuwa kuna zaidi ya asilimia 52 ya wanawake hutumia vipodozi mbali mbali vyenye viambatishi vyenye sumu ambavyo vinaweza kusababishia matatizo mbalimbali katika afya ya binadamu,ikiwemo ugonjwa wa kansa ya ngozi, figo pamoja na kutoshika ama kuharibika kwa mimba kwa mama mjamzito.Makala ya Siha Njema itangazia juu ya Athari hizo juma hili
Vipindi vingine
-
Mataifa ya Afrika yashinikiza mwongozo wa kukabiliana na hali ya dharura
Mataifa wanachama wa shirika la afya duniani ,WHO yanayokongamano katika kongamano la afya ya 77 jijini Geneva yanataka kuwepo mwongozo wa afya kukabiliana na hali ya dharura baada ya janga la COVID 1929/05/202409:32 -
Matatizo ya afya ya akili yasipotatuliwa huwaathiri mustakabali wa watoto
Watoto na vijana walioshuhudia dhulma , kupata kiwewe,mara nyingi wanajikuta hawaamini katika uhusiano ,huwa waathiriwa wa dhulma za kimapenzi22/05/202410:09 -
Changamoto za afya ya akili miongoni mwa watoto na vijana Afrika
Kumekuwa na ongezeko la idadi ya watoto na vijana wanaokabiliwa na changamoto za afya ya akili14/05/202410:14 -
Mimba za utotoni zaendelea kuongezeka ukanda wa Afrika Mashariki
Idadi kubwa ya wasichana wanaopata mimbo za utotoni wapo katika nchi za Afrika kwa mujibu wa shirika la afya duniani pia UNFPA08/05/202410:20 -
Methadone yatumika kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi
Kenya imeanza kutumia Methadone kupambana na Ukimwi baada ya Tanzania07/05/202408:40