Leo katika makala ya HABARI RAFIKI tunazungumzia siku ya kimataifa ya televisheni.Siku hii inatambuliwa kimataifa na tarehe kama ya leo 1996 ndipo kongamano la kwanza la kidunia kuhusu televisheni lilifanyika.Lengo likiwa ni kutambua mchango wa televisheni toka kugunduliwa kwake.Msikilizaji ni kwa vipi televisheni imebadilisha dunia?kiutamaduni,kisiasa,na hata kiuchumi?Vipi faida zake ukilinganisha na radio?
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13