Habari RFI-Ki
Usalama waimarishwa Afrika mashariki kuelekea sikukuu ya pasaka
Imechapishwa:
Cheza - 09:35
Makala ya habari rafiki inaangazia siku ya ijumaa kuu ambapo wakristo duniani wanajiandaa na sikukuu ya pasaka jumapili kukumbuka kufufuka kwa mwokozi wao Yesu Kristo zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita.Je hali ya usalama iko vipi,tegea sikio maoni ya wasikilizaji.