Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Upinzani Burundi wakataa tarehe ya uchaguzi

Imechapishwa:

Siku moja baada ya Tume ya taifa ya Uchaguzi nchini Burundi CENI kutangaza pendekezo la tarehe ya kufanyika uchaguzi mkuu ambayo ni tarehe 15 mwezi Julai, wapinzani nchini humo , wamekataa pendekezo hilo na kudai kuwa hitaji lao la kuwa na uchaguzi huru halijatekelezwa. Pia wamemtaka mpatanishi wa Umoja wa Mataifa Said Djinnit kujiuzulu kwa kushindwa kushughulikia mzozo huo,Fuatilia msikilizaji kujua nini kinaendelea

Habari Rafiki
Habari Rafiki © RFI
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.