Pata taarifa kuu
Nyumba ya Sanaa

Maadhimisho ya miaka minne ya matangazo ya RFI Katika lugha ya Kiswahili barani Afrika

Imechapishwa:

Katika makala haya, tunaungana na wasanii kutoka Afrika mashariki na kati, kuzungumzia maadhimisho ya miaka minne tangu kuanzishwa kwa kituo hiki cha radio france internationale kuanza kurusha matangazo yake katika lugha ya kiswahili, moja kwa moja kutoka studio zetu za Dar-es-salaam.Sanaa imethaminiwa vipi, katika kipindi hicho cha miaka minne, nao wasanii wamenufaika vipi katika maeneo yao?Ungana nami Edmond Lwangi Tcheli, Karibu.......   

Sanaa barani Afrika
Sanaa barani Afrika RFI
Vipindi vingine
  • 20:04
  • 20:05
  • 20:12
  • 20:03
  • 20:02
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.