Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Ukata katika Shirika la Reli TAZARA

Imechapishwa:

Ukata umelikumba Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA,ukosefu wa Fedha na luzuku toka serikali hizi mbili na uzalishaji Duni umelikumba shirika hilo kwa muda sasa,hadi tarehe kumi na sita mwezi wa tano wafanyakazi wa shirika hilo walikuwa hawajalipwa mishahara yao ya mwezi Aprili,Mara kadhaa Treni ya mizigo imesitisha safari zake kwa ukosefu wa mafuta ya kuendeshea mitambo hasa injini za shirika hilo.

Rfi-ki
Vipindi vingine
  • 10:03
  • 10:06
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.