Ukata umelikumba Shirika la Reli la Tanzania na Zambia TAZARA,ukosefu wa Fedha na luzuku toka serikali hizi mbili na uzalishaji Duni umelikumba shirika hilo kwa muda sasa,hadi tarehe kumi na sita mwezi wa tano wafanyakazi wa shirika hilo walikuwa hawajalipwa mishahara yao ya mwezi Aprili,Mara kadhaa Treni ya mizigo imesitisha safari zake kwa ukosefu wa mafuta ya kuendeshea mitambo hasa injini za shirika hilo.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?07/05/202410:03 -
10:06
-
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13