Bendi ya Les Wanyika ni miongoni mwa bendi zilizopiga fora miaka ya 70 kupitia nyimbo zao kama vile Kajituliza Kasuku, na nyingine, iliundwa na wanamuziki kutoka Tanzania na Kenya waliopiga Kambi jijini Nairobi. wiki hii Ali Bilali anakukumbusha kidogo historia ya bendi hii na nyimbo zake. usikosi pia kumfollow kwa Instagram
Vipindi vingine
-
Muziki Ijumaa
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.27/04/202410:04 -
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.19/04/202410:40 -
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03