Pata taarifa kuu
USALAMA-JAMII

Mlipuko katika kituo cha mafuta waua takriban watu 9 nchini Ireland

Mkazi wa eneo hilo ambaye nyumba yake iko takriban mita 150 kutoka eneo la tukio amesema mlipuko huo ulimfanya afikirie kuwa ni "bomu".

Dublin mji mkuu wa Ireland.
Dublin mji mkuu wa Ireland. AP - Peter Morrison
Matangazo ya kibiashara

Takriban watu tisa waliuawa katika mlipuko uliotokea katika kituo cha mafuta katika kijiji kimoja kaskazini magharibi mwa Ireland ambapo zoezi la kuwatafuta waathiriwa umeendelea siku ya Jumamosi.

Ijumaa alaasiri Polisi ilitangaza idadi ya watu waliouawa imeongezeka kutoka saba hadi tisa. "Shughuli ya kuwatafuta waathiriwa wengine zinaendelea," iliongeza. Watu wanane walilazwa hospitalini.

Polisi, hata hivyo, haikutoa maelezo juu ya asili ya mlipuko huu, uliotokea Ijumaa alasiri katika kijiji cha Creeslough.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.