Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Je wananchi wa Tanzania wanaridhishwa na mwenendo wa kampeni na ahadi za kukuza uchumi

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya, hii leo anaangazia kuhusu mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania, ambapo anazungumza na wananchi pamoja na wataalamu wa uchumi kutathmini iwapo wananchi wanaridhishwa na namna ambavyo wagombea wameendelea kunadi sera zao za kukuza uchumi.

Wananchi wakiwa katika moja ya mikutano ya kampeni nchini Tanzania, 2015
Wananchi wakiwa katika moja ya mikutano ya kampeni nchini Tanzania, 2015 RFI/blog
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.