Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Siasa Burkina Faso

Imechapishwa:

Mwanadiplomasia Michel Kafondo ameteuliwa kuwa rais wa mpito wa Burkina Faso, huku mwanajeshi Luteni Kanali Isaac Zida  na kazi kubwa ni  kuiongoza nchi hiyo kwa muda wa mwaka mmoja kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mwingine.Rais Blaise Compaore alilazimika kujiuzulu baada ya maandamano ya kumtaka  kufanya hivyo kwa madai ya kutaka kuwania tena urais nchini humo. 

Michel Kafando rais wa mpito wa Burkina Faso na Waziri Mkuu Luteni Kanali  Isaac Zida
Michel Kafando rais wa mpito wa Burkina Faso na Waziri Mkuu Luteni Kanali Isaac Zida AFP/ Sia KAMBOU
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.