Gurudumu la Uchumi
Mradi wa reli ya Uganda utawanufaisha vipi wananchi wa Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 10:21
Mtangazaji wa makala hii, juma hili ameangazia mradi wa ujenzi wa reli ya Uganda inayounganisha na nchi ya Kenya na Sudan Kusini, ambapo wanajadili namna ujenzi wa reli hii utakavyowanufaisha wananchi wa ukanda wa Afrika Mashariki.