Gurudumu la Uchumi
Wataalamu: Binadamu anahitaji kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha
Imechapishwa:
Cheza - 09:48
Mtangazaji wa makala hii juma hili ameangazia ni namna gani mwananchi au wananchi wa kawaida tunautamaduni wa kufanya bajeti ya matumizi ya fedha tunazozipata, ama zitokane na mishahara au biashara.Suala la ubanaji matumizi halihusu Serikali peke yake kwani hata mwananchi wa kawaida usipokuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha unazopata, mwisho wa siku tutaishia kulalamika hela ngumu au gharama ya maisha imepanda.