Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Uhusiano kati ya bara la Afrika na Umoja wa Ulaya kiuchumi

Imechapishwa:

Makala ya “Gurudumu la Uchumi”, juma hili inaangazia uhusiano kati ya bara la Afrika na Umoja wa Ulaya kiuchumi, uhusiano ambao umekuwa wa mafanikio na manung'uniko kwa upande mwingine. Kuangazia hili Mtayarishaji wa makala haya Martha Saranga anazungumza na Mtaalamu wa Uchumi kutoka Dar es salaam Tanzania.

Mkutano kati ya viongozi wa Afrika na Umoja wa Ulaya, mjini Brussels nchini Ubelgiji, aprili 2 mwaka 2014.
Mkutano kati ya viongozi wa Afrika na Umoja wa Ulaya, mjini Brussels nchini Ubelgiji, aprili 2 mwaka 2014. REUTERS/Yves Herman
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.