Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Fahamu ni namna gani unaweza kutumia mabaki ya chakula kutengeneza nishati mbadala

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya juma hili amezungumza na mtaalamu toka kampuni ya Simgas Tanzania, kamouni ambayo inajihusisha na utafiti wa nishati mbadala ambapo juma hili imevumbua mtambo mpya wa kuzalisha nishati ya gesi asilia kwa kutumia mabaki ya chakula.

Mmoja wa watumiaji wa nishati mbadala ya gesi
Mmoja wa watumiaji wa nishati mbadala ya gesi SIMGAS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.