Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Wananchi wa Nigeria waingia kwenye mgomo kupinga ruzuku ya mafuta iliyotangazwa na serikali

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala hii juma hili anakuletea mengi ya yaliyojiri juma hili lakini kubwa ni kuhusiana na kutangwazwa kwa mgomo na shirikiisho la wafanyakazi nchini Nigeria ambao wanapinga nyongeza ya ruzuku kwenye mafuta iliyotangazwa na serikali.

Wananchi wa Nigeria wakiandamana kupinga Ruzuku ya mafuta iliyoongezwa na serikali
Wananchi wa Nigeria wakiandamana kupinga Ruzuku ya mafuta iliyoongezwa na serikali Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.