Gurudumu la Uchumi
NI kwavipi uwekezaji unachangia kujenga ama kuporomosha uchumi wa mataifa ya Afrika na ule wa Ulaya kukua?
Imechapishwa:
Cheza - 08:57
Mtangazaji wa makala haya juma hili ameangazia ni kwa namna gani nchi za Afrika zinaweza kunufaika na uwekezaji endapo kutakuwa na sera bora za kusimamia hili.