-
Mkutano kati ya viongozi wa Afrika na Ulaya waanza Brussels
-
Jumuiya ya kujihami ya nchi za magharibi Nato yasitisha ushirikano wake na Urusi
-
Umoja wa Ulaya watangaza kuanza operesheni zake za kijeshi nchini Jamhuri ya Afrika ya kati
-
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon aitolea wito Jumuiya ya Kimataifa kuongeza wanajeshi zaidi nchini jamhuri ya Afrika ya Kati