-
Waandamanaji Nchini Misri wachoma moto ofisi ya Mgombea wa Urais Ahmad Shafiq baada ya kutangazwa kwa matokeo
-
Koffi Annan kukutana na Rais Assad kujadili mustakabali wa baadaye wa Syria baada ya mauaji kuendelea
-
Kiongozi wa Upinzani Nchini Myanmar Suu Kyi kufanya ziara ya kwanza nje ya nchi baada ya miaka 24
-
Mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini yanaanza huku Khartoum ikiondoa vikosi vyake Abyei
-
Annan afanya mazungumzo na Rais Assad huku Umoja wa Mataifa UN ukisema wengi waliouwa walichinjwa kule Houla
-
Rais wa Somalia Ahmed anusurika kifo baada ya Al Shabab kushambulia msafara wake akiwa ziarani Afgoye