-
Guus Hiddink atangaza kujiuzulu wadhifa wake wa kuinoa Klabu ya Anzhi Makhachkala ya nchini Urusi
-
FIFA yaiondolea adhabu Chama Cha Soka nchini Cameroon Fecafoot baada ya kuundwa kwa Kamati Maalum kushughulikia mgogoro
-
Klabu ya Barcelona imemtangaza Gerardo Martino kuwa Kocha Mkuu akichukua nafasi ya Tito Vilanova kuinoa Timu hiyo
-
Timu ya Taifa ya Tanzania kutua Uganda kwa ajili ya mchezo wa marudiano kusaka tiketi ya kufuzu CHAN mwakani Afrika Kusini