-
Serikali ya Myanmar yaruhusu uchapishaji na usambazaji wa magazeti yanayomilikiwa na watu binafsi ikiwa ni miongo karibu mitatu tangu yaingie kitanzini
-
Rais wa Korea Kusini Park atangaza utayari wa nchi yake kuingia vitani dhidi ya jirani zao Korea Kaskazini baada ya kuchoshwa na vitisho vyao