-
Wafuasi wa chama cha upinzani nchini Rwanda waishio uhamishoni waituhumu Rwanda kusika na kifo cha Patrick Karegeya
-
Afisa wa ngazi ya juu jeshini nchini Sudan Kusini auawa na mazungumzo ya kusaka amani yachelewa kuanza
-
Wananchi wa Kaskazini mwa DRCongo waendesha ibada sanjari na wale wa Kinshasa katika mazishi ya Kanali Mamadou N'Dala Moustafa wakati wanajeshi kadhaa wakitiwa nguvuni
-
Mchezaji nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Ureno anatazamiwa kuzikwa leo jumatatu
-
Taifa la Bngladesh laekea kwenye machafuko baada ya uchaguzi wa jana jumapili kugubikwa na ghasia za mauaji
-
Serikali ya Cote d'Ivoire inapania kuwaachia huru kwa muda wafungwa ili kupunguza msongamano katika jela.
-
Wanadamu wengi hawajui haki zao