-
Kundi la Wanamgambo la Boko Haram limewaua wanafunzi wapatao 50 wa Chuo Cha Kilimo nchini Nigeria
-
Waandamanaji nchini Sudan watishia kuuangusha Utawala wa Rais Al Bashir iwapo utashindwa kudhibiti kupanda kwa bei ya mafuta
-
Marekani imesisitiza suluhu juu ya mpango wa nyuklia wa Iran itapatikana katika kipindi cha miezi sita ijayo
-
Serikali ya Syria yatangaza utayari wake wa kushirikiana na Umoja wa Mataifa UN juu ya azimio la kuteketeza silaha zake za kemikali
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi ya Kenya kumhoji Mkuu wa Usalama juu ya shambulizi la kigaidi kwenye Jumba la Biashara la Westgate
-
Barcelona kukosa huduma ya Lionel Messi kwa kipindi cha majuma matatu baada ya kuumia nyama za paja
-
Roberto Mancini huenda akapewa kibarua cha kuinoa Galatasaray iwapo atakubaliana na Uongozi kwenye mazungumzo yanayoendelea
-
Wenger atoa onyo kali kwa Wachezaji wake kuelekea Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya dhidi ya Napoli
-
Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers asema washambuliaji wake Suarez na Sturridge ndiyo bora zaidi Uingereza
-
Watu wapatao 47 wamepoteza maisha nchini Iraq kwenye wimbi la mashambulizi ya kujitoa mhanga
-
Waziri Mkuu wa Israeli Netanyahu kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani Obama juu ya mpango wa nyuklia wa Iran na amani ya Mashariki ya Kati
-
Watu 39 hawajulikani walipo Nchini Kenya tangu kutokea kwa mkasa wa shambulizi la kigaidi katika Jumba la Biashara la Westgate
-
Mkaa mbadala unavyosaidia kukabiliana na uchafuzi wa mazingira nchini Tanzania
-
Mateso na sulubu kwa wafungwa au watuhumiwa ni vitu vinavyokwenda kinyume na Sheria za Haki za Binadamu
-
Wananchi walaani hatua ya Serikali kuyafungia kwa muda Magazeti ya Mwananchi na Mtanzania