-
Idadi kubwa ya mateka walioshikiliwa na wanamgambo wa Al shabab waokolewa na jeshi la kenya limedhibiti jengo la Westgate
-
Urusi iko tayari kutuma ujumbe wake kusimamia uchunguzi na uteketezwaji wa silaha za kemikali nchini Syria
-
Kansela wa Ujerumani Merkel akubali kuunda serikali ya muungano
-
Real Madrid yailaza Getafe mabao 4-1
-
Timu ya kikapu ya Ufaransa yaandika historia kwa kutwaa kombe la ulaya
-
Muslim Brotherhood chapigwa marufuku na mali zake kustaafishwa
-
Fahamu awamu ya pili ya malengo ya milenia ya haki na ustawi wa watoto
-
Jangwa na ukame kutishia robo ya eneo la dunia
-
Afrika Mashariki hususan Kenya yapigwa na taharuki kufuatia uvamizi wa kikundi kinachoaminika kuwa Alshabab