-
Dunia inaadhimisha siku ya kuzaliwa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela huku mwenyewe akisalia hospitali kwa matibabu
-
Chama cha waalimu nchini Kenya, KNUT chatangaza kumaliza mgomo huku wizara ya elimu ikitangaza kufunga shule zote za umma
-
Umoja wa Ulaya waitaka Serikali ya mpito nchini Misri kumuachia Mohamed Morsi
-
Wabunge nchini Ugiriki waidhinisha muswada wa sheria mpya ya kubana matumizi
-
Serikali ya Guinea yatuma wanajeshi zaidi kusini mwa nchi hiyo kufuatia mapigano ya kikabila
-
Kundi la Taliban lamwandikia barua Malala kumtaka arejee nyumbani
-
Serikali ya Pyongyang yaitaka Panama kuwaachia wafanyakazi wa meli yake
-
Wanamichezo duniani wakumbuka siku ya kuzaliwa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela
-
Negredo asaini Manchester City, bosi wa FIFA ataka fainali za kombe la duniani la mwaka 2022 zifanyike majira ya baridi
-
Katibu mkuu wa UN, alitaka jeshi la DRC kuheshimu haki za binadamu pindi linapowakamata waasi wa M23
-
Siku ya Mandela
-
Mapigano mapya mashariki mwa DRC