-
Kiongozi wa mpito nchini Misri atangaza kuitisha uchaguzi mwanzoni mwa Mwaka ujao
-
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa UN Ban Ki Moon,atoa wito kwa Syria kuacha mapigano wakati huu wa Mfungo wa Ramadhani
-
Rais wa Marekani Barrack Obama kuharakisha kuondoa Vikosi vya Marekani nchini Afghanistani
-
Israel yatoa wito kwa Marekani kutositisha Misaada nchini Misri
-
Mtu mmoja auawa kwa Shambulio la Bomu lililotekelezwa na Al Shabaab mjini Mogadishu
-
Latvia yakubaliwa kuwa mwanachama wa nchi zitumiazo Sarafu ya Euro
-
Kenya yatoka sare na Lesotho kwa Magoli 2-2
-
Christian Banteke awasilisha nia yake ya kuiacha Aston Villa
-
Tezi