-
Assad: Syria itajibu mashambulizi dhidi ya Israel, Urusi yasisitiza misaada zaidi ya silaha kwa Serikali yake
-
UN yaliorodhesha kundi la Al Nusra nchini Syria kama kundi la kigaidi, baadhi wahoji ushiriki wake nchini humo
-
Raia 4 wa Rwanda wakamatwa nchini Uingereza kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari, 1994
-
Bunge nchini Nigeria lapitisha sheria kuzuia ndoa za watu wa jinsia moja
-
Mahakama kuu ya Kenya kusikiliza kesi dhidi ya kuvunjwa kwa tume ya mishahara
-
Mechi ya kirafiki kati ya Uingereza na Brazil kuchezwa kama ilivyopangwa licha ya hofu ya kiusalama kwenye uwanja wa Maracana
-
Mkutano mkuu wa FIFA wapitisha sheria mpya za kukabiliana na vitendo vya kibaguzi uwanjani
-
Picha za tukio la mauaji ya mchumba wa mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius zavuja nchini Uingereza
-
Mahakama ya Umoja wa Mataifa UN yawaachia huru washukiwa wawili wa mauaji ya vita vya Bosnia, 1990
-
Nyaraka za kesi ya mwanaharakati, Florobert Chebeya zaibiwa ofisini kwa wakili wake
-
Idadi ya watu wasio na ajira barani Ulaya yazidi kuongezeka, sasa ni tishio kwa ukuaji wa uchumi wa ukanda huo
-
Mahakama ya katiba nchini Zimbabwe yamwagiza rais Mugabe kuandaa uchaguzi mkuu kabla ya tarehe 31 July
-
WHO yazitaka nchi kupiga marufuku matangazo na kampeni za matumizi ya Tumbaku
-
Mfahamu msanii Yoya kutoka nchini Burundi