-
Usafiri wa Treni kusimama jijini Dar es Salaam
-
Wito wa amani watolewa na kanisa katoliki Tanzania
-
Watu saba wauawa kwenye shambulio la risasi mjini Mombasa, Kenya
-
Benki nchini Cyprus zaanza kufanya kazi, licha ya maandamano ya wananchi
-
Rais wa Somalia akanusha wanajeshi wake kuhusika na vitendo vya ubakaji dhidi ya wanawake
-
UN: Waangalizi wetu bado hawajaruhusiwa kuingia nchini Syria kufanya uchunguzi wa silaha za kemikali
-
UN: Yatoa makataa ya wiki moja kwa DRC kuwakamata wanajeshi wake wanaotuhumiwa kwa ubakaji
-
Marekani yatuma ndege aina ya B-2 kwenye pwani ya Korea Kusini tayari kukabiliana na kitisho cha Korea Kaskazini
-
Azam yazidi kuinyemelea Yanga, Simba yaangukia pua mjini Bukoba, Kagera
-
FIFA kuchunguza tukio lililomuhusisha Luis Suarez na Gonzalo wakati wa mechi ya Uruguay na Chile
-
Papa Francis kutumia sikukuu ya Pasaka kuosha miguu wafungwa na kutembelea wasiojiweza
-
Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela akimbizwa hospitalini kwa matibabu