-
Kamanda Hugo Chavez aendelea kusumbuliwa na maradhi ya kupumua akipoa upasuaji wa saratani aliyofanyiwa Cuba
-
Damascus yakumbwa na shambulizi baya zaidi tangu kuanza kwa vita vilivyodumu kwa miezi 24 sasa
-
Mataifa ya Magharibi yaitaka Iran kuacha kurutubisha nyuklia kabla ya kufanyika mazungumzo chini ya Shirika la IAEA
-
Wapiganaji wa Makundi ya Kiislam nchini Mali waanza kutumia mbinu ya mashambulizi ya kujitoa Mhanga huko Kidal
-
Jeshi la Polisi nchini India limekiri kupewa mapema taarifa za uwepo wa mpango wa mashambulizi huko Hyderabad
-
Mabingwa wa Europa Atletico Madrid waondolewa huku Newcastle United, Tottenham na Chelsea wakifuzu
-
Klabu ya Manchester United yakanusha madai ya kutaka kumuuza Kiungo wake Luis Nani
-
Kocha Mkuu wa Tottenham Villas-Boas aeleza wapo tayari kwa mchezo dhidi ya Inter Milan kwenye Europa
-
Chama Cha Ennahda champendekeza Waziri wa Mambo ya Ndani Ali Larayedh kuwa Waziri Mkuu wa Tunisia
-
Tamasha la Sauti za Busara limefanyika kwa mara ya kumi na Msanii Chipukizi Man Martin kutoka Rwanda ameshiriki