Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Ulimwengu waadhimisha sikukuu za Krismas na mwaka mpya chini ya tahadhari ya Omicron

Imechapishwa:

Makala ya wiki hii imeangazia kwa kiasi kikubwa tahadhari inayoshuhudiwa hivi sasa kote ulimwenguni baada ya kuenea sehemu mbali mbali ya dunia kwa taarifa kuhusu maambukizi ya kirusi kilichogunduliwa huko Afrika kusini, pamoja na mambo mengine mengi. Karibu kujiunga na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi

Muuguzi katika hospitali ya Bas-Rhin, eneo kuu la mashariki ya Ufaransa akiwapa watoto katika ya miaka mitano na kumi na moja chanjo dhidi ya Covid-19 desemba 21 2021.
Muuguzi katika hospitali ya Bas-Rhin, eneo kuu la mashariki ya Ufaransa akiwapa watoto katika ya miaka mitano na kumi na moja chanjo dhidi ya Covid-19 desemba 21 2021. AP - Jean-Francois Badias
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.