Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Siku 16 za mapambano dhidi ya ukatili wa wanawake

Imechapishwa:

Kila mwaka dunia hutumia  siku 16  kuadhimisha mapambano ya kupinga ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto .

Linnet, 16 na mjamzito, katika nyumba ya dadake katika mtaa wa mabanda wa Kibera jijini Nairobi mnamo Julai 15, 2020.
Linnet, 16 na mjamzito, katika nyumba ya dadake katika mtaa wa mabanda wa Kibera jijini Nairobi mnamo Julai 15, 2020. AFP
Matangazo ya kibiashara

Umoja wa mataifa huongoza kampeni hii na hufanyika kuanzia tarehe 25 Novemba na kumalizika tarehe 10 Desemba ya kila mwaka kwa ajili ya kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake.

Siku hiyo ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1991 na tangu wakati huo zaidi ya asasi 6,000 kwa  zaidi ya nchi 187 hushiriki katika maadhimisho haya.

 

Nchini Kenya katika eneo la Kibra baadhi ya kinadada wamethibitisha kuwa visa vya dhulma bado vipo na kati ya wanawake 5 wawili wamedhulumiwa kisaikologia na hata kingono .

Ili kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.