Jua Haki Zako
Kenya : Serikali yaendesha bomoabomoa kwenye ardhi inayodai kuwa yake
Imechapishwa:
Cheza - 09:25
Katika makala haya tunajadili hatua ya serikali nchini kenya kubomoa makaazi ya raia wanaodiwa kujenga nyumba zao kwenye ardhi ya serikali, ambayo inamilikiwa na kampuni ya simiti ya East African Portland cement.