Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Kenya : Serikali yaendesha bomoabomoa kwenye ardhi inayodai kuwa yake

Imechapishwa:

Katika makala haya tunajadili hatua ya serikali nchini kenya kubomoa makaazi ya raia wanaodiwa kujenga nyumba zao kwenye ardhi ya serikali, ambayo inamilikiwa na kampuni ya simiti ya East African Portland cement.

Ubomozi wa majumba nchini Kenya
Ubomozi wa majumba nchini Kenya © rfi Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Kwa mjibu wa kampuni ya simiti ya East African Portland cement, raia waliojenga kwenye ardhi inayodai kuwa yake walikuwa wameonya dhidi ya kujenga kwenye ardhi hiyo.

Ili kuelewa mengi zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.