Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Watoto wanyanyaswa kigongo nchini DRC

Imechapishwa:

Bunge la watoto wilayani Masisi Mashariki mwa DRC, linashutumu unyanyasaji unaofanyiwa watoto kwa kuhusishwa katika biashara ya ngono.

Wanawake wawili wanakunywa pombe nchini DRC, Julai 24, 2006.
Wanawake wawili wanakunywa pombe nchini DRC, Julai 24, 2006. LIONEL HEALING / AFP
Matangazo ya kibiashara

Kulingana na mashairika ya kiraia na wanaharakati wa haki za binadamu huko Masisi, maelfu ya watoto wanatumiwa  kiuchumi na wazazi wao ambao huwalazimisha kufanya kazi  nao katika shughuli zao za vijijini na katika biashara ndogo ndogo za  kingono .

Kwa mujibu wa wanaharakati kwa haki  za binadamu, hali  linatokana na vita vya M23 na makundi mengine yenye silaha ambayo yanafanya eneo hili kukosa usalama.

 

Kwa mengi zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.