Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Tanzania - wasichana waliojifungua kurejea shuleni

Imechapishwa:

Mwaka 2018 aliyekuza rais wa Jumhuri ya muungano wa Tanzania hayati John pombe Magufuli ameweka marufuku ya kuwazuia wasicha waliojifungua kuendelea na masomo yao kutokana na sababu kadhaa, ila mrithi wake rais Samia Suluhu amebadili msimamo huo.

Wanafunzi nchini Tanzania
Wanafunzi nchini Tanzania AFP - TONY KARUMBA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.