Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Umuhimu wa bara la Afrika kuwa na mfumo wa pamoja wa kufanya malipo kidijiti

Imechapishwa:

Kwa mujibu wa umoja wa Mataifa, malipo ya kidijiti au ya kimtandao yanachangia pakubwa katika kujenga msingi imara wa kufikia maendeleo endelevu, kwanini? Ni kwasababu malipo haya yanapokuwa rahisi, salama, ya wazi na binafsi, yatawezesha ukuaji wa fursa kama nishati, maji na mikopo.Katika kipindi hiki utamsikia, Lucy Nshuti Mbabazi, kutoka taasisi ya umoja wa Mataifa ya muungano wa Better than Cash, Lacina Kone, mkurugenzi wa Smartafrica pamoja na Kwizela Aristide Basebya, mtafiti wa Teknolojia za Mawasiliano ya Umma na Matumizi yake serikalini, akiwa Beijing, China.

Rais wa Rwanda, Paul Kagame, wakati akihutubia mkutano wa Transform Afrika, uliofanyika nchini Zimbabwe. 26/04/2023.
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, wakati akihutubia mkutano wa Transform Afrika, uliofanyika nchini Zimbabwe. 26/04/2023. © Rwanda Presidency
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.