Gurudumu la Uchumi
Changamoto kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:45
Msikilizaji kwa muda sasa, wafanyabiashara na viongozi kwenye ukanda wa Afrika Mashariki, wameendelea na juhudi za kujaribu kurahisisha mazingira ya kibiashara na ufanyaji biashara, kwa kuweka miundombinu itakayosaidia kuongeza thamani ya bidhaa zinazozalishwa ili kupata soko ndani na nje ya ukanda, tunaungana na Safari Fungo, mtaalamu wa biashara za kimataifa na utangamano wa kikanda, lakini pia ni mkurugenzi wa jukwaa la ubora nchini Tanzania, Nationa Quality Association of Tanzania.