Gurudumu la Uchumi
Maonesho ya teknolojia ya michezo ya kidijiti 'Video games'
Imechapishwa:
Cheza - 09:13
Makala ya Gurudumu la uchumi wiki hii, inaangazia maonesho ya teknolojia kwa wabunifu wa michezo ya Kidijiti "Video Games", yatakayofanyika mwishoni mwa juma hili, mtayarishaji amezungumza na Douglas Ogeto, CEO wa Ludiqueworks ya nchini Kenya pamoja na Ann Ndanu, mmoja ya waandaji wa maonesho ya NAICCON 2022.