Changu Chako, Chako Changu
Sherehe za siku ya kimataifa ya waalimu zafana Alliance Francaise ya Mombasa nchini Kenya.
Imechapishwa:
Cheza - 20:01
Katika Makala haya ya leo Changu Chako Chako Changu, muandaaji wa makala haya Ali Bilali amekutana na waalimu wa lugha ya Kifaransa huko Mombasa wakati wakiadhimisha siku kuu ya kimataifa ya waalimu wa lugha ya Kifaransa. Mabatana naye.