Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Sherehe za siku ya kimataifa ya waalimu zafana Alliance Francaise ya Mombasa nchini Kenya.

Imechapishwa:

Katika Makala haya ya leo Changu Chako Chako Changu, muandaaji wa makala haya Ali Bilali amekutana na waalimu wa lugha ya Kifaransa huko Mombasa wakati wakiadhimisha siku kuu ya kimataifa ya waalimu wa lugha ya Kifaransa. Mabatana naye.

pichani yupo Balozi wa Ufaransa nchini Kenya Arnaud Suquet, Mkurugenzi wa bodi Muhamed Ramazani mkurugenzi wa AFM Lucas Malcor, Dk Sarah Wallace pamoja na waalimu wa chuo kikuu cya pwani.
pichani yupo Balozi wa Ufaransa nchini Kenya Arnaud Suquet, Mkurugenzi wa bodi Muhamed Ramazani mkurugenzi wa AFM Lucas Malcor, Dk Sarah Wallace pamoja na waalimu wa chuo kikuu cya pwani. © @bilali rfi
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.