Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Makala kuhusu Tamasha la MOCA lililofanyika huko Kigali Rwanda

Imechapishwa:

Karibu kuwa nami Jumapili hii katika Makala Changu Chako Chako Changu, makala maalum kuhusu Tamasha lijulikanalo kama MOCA, Movement Of Creative Africas, yaani jukwaa la Viwanda vya Utamaduni na Ubunifu vya Kiafrika (ICC) na diaspora. Jumapili hii siko pekeangu nitakuwa naye mtangazaji mwenzangu ambae tumeambatana pamoja mpaka Kigali nchini Rwanda Florence Kihuwa.

Mtangazaji wa RFI Kiswahili Ali Bilali alipokutana na muasisi wa tamasha la Moca jijini Kigali nchini Rwanda Julay 30 hadi Julay 03
Mtangazaji wa RFI Kiswahili Ali Bilali alipokutana na muasisi wa tamasha la Moca jijini Kigali nchini Rwanda Julay 30 hadi Julay 03 © Samuel Nja Kwa
Matangazo ya kibiashara
wachezaji wa kitamaduni wa densi ya Rwanda
wachezaji wa kitamaduni wa densi ya Rwanda © Samuel Nja Kwa
Wataalamu wakitoa somo katika tamasha la MOCA kigali
Wataalamu wakitoa somo katika tamasha la MOCA kigali © Samuel Nja Kwa

Tamasha la 7 linafanyika kuanzia Juni 30 hadi Julai 3, 2022 mjini Kigali, nchini Rwanda, kwa ushirikiano na Wizara ya Utamaduni, na jiji la Kigal…, toleo ambalo halijawahi kushuhudiwa kuhusu mada “Ubunifu na Sanaa kwa ajili ya mabadiliko!”.

Fursa ya kuelewa jinsi ubunifu na sanaa inavyochangia katika maendeleo ya Afrika.

Mengi zaidi kuhusu MOCA FESTIVAL nimezungumza na Muasisi wa Tamasha hilo Alain Bijek raia wa Cameroon.

Wataalamu wakitoa somo katika tamasha la MOCA kigali
Wataalamu wakitoa somo katika tamasha la MOCA kigali © Samuel Nja Kwa
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.