Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Warsha ya kimataifa ya idhaa za kiswahili iliofanyika mjini Arusha nchini Tanzania

Imechapishwa:

Katika Makala haya utapata kufahamu zaidi kuhusu warsha ya kimataifa ya idhaa za kiswahili iliofanyika mjini Arusha na kujumuisha vituo mbalimbali vya idhaa za kiswahili kutoka ukanda wa Afrika mashariki.

Katikati aliyevaa suti ni rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, wakati akifunga kongamano la idhaa za kiswahili duniani, jijini Arusha, Tanzania. 18 03 2022.
Katikati aliyevaa suti ni rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, wakati akifunga kongamano la idhaa za kiswahili duniani, jijini Arusha, Tanzania. 18 03 2022. © FMM-RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.