Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

HALI YA USALAMA INAYOJIRI NCHINI JAMUHURI YA AFRIKA YA KATI

Imechapishwa:

Machafuko yanaendelea kushuhudiwa katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambako malfu ya watu wamepoteza maisha na wengine kulazimika kuyahama makaazi yao. Katika makala ya “Mjadala wa wiki” tunaagazi hali inayojiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambako wadadisi wanasema, taifa hili linakabiliwa na mchafuko ya kidini.

Studi RFI Kiswahili jijini Dar es Salaam
Studi RFI Kiswahili jijini Dar es Salaam RFI/BILALI
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.