Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Changamoto ambazo zinaikabili Jumuiya ya Ushirikiano kati ya nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Carribean na Pacific ACP

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu La Uchumi juma hili inaangazia mafanikio na changamoto ambazo zinaikabili Jumuiya ya Ushirikiano kati ya nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Carribean na Pacific ACP. Katika kulitazama hili tutazungumza na Profesa Humfrey Moshi Mhadhiri na Mchambuzi wa Masuala ya Uchumi kutoka Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam.

Makala ya Gurudumu la Uchumi
Makala ya Gurudumu la Uchumi RFIkiswahili
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.