Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Rwanda yakwaa uanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC huku Kampeni za Uchaguzi wa Urais nchini Marekani zachanja mbuga

Imechapishwa:

Rwanda hatimaye yatwaa kiti cha uanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC ambacho watadumu nacho kwa miaka miwili, Jeshi la Polisi nchini Kenya laendeleza msako dhidi ya Viongozi, Wafadhili na Wafuasi wa Kundi la Mombasa Republican Council MRC, Ghasia zaendelea kuchacha Visiwani Zanzibar baada ya kutoweka kwa Kiongozi wa UAMSHO Sheikh Farid Hadi Ahmed na Mdahalo wa Pili wa Wagombea wa Urais nchini Marekani washuhudia Barack Obama na Mitt Romney wakishambuliana kwa hoja.

Eugène-Richard Gasana ambaye ni Mwakilishi wa kudumu wa Rwanda katika Umoja wa Mataifa UN akiwa na ujumbe wa nchi hiyo wakishangilia kupata nafasi ya kuwa mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC
Eugène-Richard Gasana ambaye ni Mwakilishi wa kudumu wa Rwanda katika Umoja wa Mataifa UN akiwa na ujumbe wa nchi hiyo wakishangilia kupata nafasi ya kuwa mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC UN Evan Schneider
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.