Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Maandamano kupinga udhalilishaji wa Mtume Muhammad yasababisha Marekani kurejesha nyumbani Mabalozi wake

Imechapishwa:

Mjadala wa Wiki juma hili tunazungumzia kuhusu hatua ya serikali ya Marekani kuwaondoa wanadiplomasia wake katika nchi kadhaa za kiarabu kufuatia maandamano makubwa ya kupinga kitendo cha kumdhihaki Mtume Muhammad (S.A.W) na athari za hatua hiyo.

Waandamanaji nchini Uturuki wakipinga filamu inayoonesha kumdhihaki Mtume Muhammad pamoja na kuudhalilisha Uislam
Waandamanaji nchini Uturuki wakipinga filamu inayoonesha kumdhihaki Mtume Muhammad pamoja na kuudhalilisha Uislam REUTERS/Umit Bektas
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.