Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Jeshi la MONUSCO na lile la Serikali ya DRC FDRC yaanzisha operesheni kukabiliana na Waasi wa Kundi la M23

Imechapishwa:

Majeshi ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO kwa kushirikiana na Jeshi la Serikali FRDC wameanzisha operesheni kuwasambaratisha Waasi wa M23, Wananchi wa Sudan Kusini wakisherehekea mwaka mmoja tangu kupata uhuru, Mali yaendelea kushuhudia uharibifu unaofanywa na Kundi la Waislam wa Ansar Dine huko Timbuktu na Machafuko yanayoambata na mauaji ya kinyama yanendelea kupambana moto nchini Syria.

Mwanajeshi wa Jeshi la Kulinda Amani la Umoja wa Mataifa Nchini DRC MONUSCO akiwa kwenye doria kwenye eneo la Masisi
Mwanajeshi wa Jeshi la Kulinda Amani la Umoja wa Mataifa Nchini DRC MONUSCO akiwa kwenye doria kwenye eneo la Masisi AFP/ PHIL MOORE
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.