Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania wakosa uungwaji mkono huku Kenya ikijiapiza kuendelea kupambana na Al Shabab

Imechapishwa:

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania wakosa nguvu na tayari baadhi ya Madaktari wamerejea kazini kuendelea kutoa matibabu kwa wagonjwa, Serikali ya Kenya yajiapiza kuendelea kupambana na Kundi la Wanamgambo wa Al Shabab, Juhudi za kusaka utulivu nchini Mali zaendelea kushika kasi huku Kundi la Ansar Dine likiendelea kufanya uharibifu wa urithi wa kitamaduni na Marafiki wa Syria wataka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UN lichukue hatua kudhibiti umwagaji wa damu na kufanya mabadiliko ya uongozi.

Madkatari nchini Tanzania wakati wakiwa kwenye mgomo wao nje ya Hospital Kuu ya Rufaa Muhimbili
Madkatari nchini Tanzania wakati wakiwa kwenye mgomo wao nje ya Hospital Kuu ya Rufaa Muhimbili
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.