Muziki Ijumaa
Chris Dizzo Msanii anayeshughulika na kazi zake za kimuziki nchini Afrika Kusini azungumzia kuhusu mipango yake
Imechapishwa:
Cheza - 11:15
Makala ya Muziki Ijumaa, RFI Kiswahili, imempokea msanii wa Burundi Chris Dizzo anaefanya kazi yake ya Muziki nchini Afrika Kusini. Chris Dizzo amekuwa katika harakati za kutangaza Album yake ya pili, na anazungumzia kuhusu harakati hizo na mipango yake ya baadae.