Pata taarifa kuu
DAR ES SALAAM-TANZANIA

Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International, RFI yaadhimisha miaka mitatu tangu ianze kurusha matangazo

Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International, RFI hii leo imetimiza miaka mitatu tangu kuanza kurusha matangazo yake kutoka Dar es Salaam Tanzania.

RFI
Matangazo ya kibiashara

RFI Kiswahili ilianza kurusha matangazo yake kwa lugha ya Kiswahili Julai 5, mwaka 2013 na kupasua anga ikirusha habari na makala mbalimbali zilizoandaliwa kwa umakini.

Katika kuadhimisha miaka hiyo mitatu tumekuandalia makala maalum kuhusu maadhimisho hayo na kutaka kujua kwa undani sikiliza makala haya.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.