Pata taarifa kuu
UGANDA-UGANDA

Hali ngumu ya maisha ya wakimbizi nchini Uganda, yasababisha watoto wakike kujiingiza kwenye biashara ya ngono

Wakimbizi nchini Uganda walalamikia hali ngumu ya maisha huku watoto wakike wakiamua kujiingiza kwenye biashara ya ngono na hata kujikuta wamezaa watoto ambao hawatambuwi baba zao. Mengi zaidi kuhusina na taarifa hii, sikiliza ripoti ys Tony Singoro kutoka Kampala.

Eneo la jiji la Kampala
Eneo la jiji la Kampala
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.