Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Kenya na miungano ya vyama vya siasa

Imechapishwa:

Juma hili kwenye mjdala wa wiki tunatazama maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu wa urais nchini Kenya, ambapo vyama mbalimbali vimetangaza kuungana kwaajili ya kuhakikisha wanashinda kwenye chaguzi mbalimbali nchini humo.

Mwananchi akipiga kura kwenye uchaguzi uliopita nchini Kenya
Mwananchi akipiga kura kwenye uchaguzi uliopita nchini Kenya Reuters
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.