Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Afrika mashariki yakumbwa na matukio ya kusikitisha ikiwemo ajali ya Meli huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya Juma hili amekuandalia mambo mengi ambapo ameangazia ajali ya meli ya Islenders iliyotokea kule visiwani Zanziba juma hili na kuua watu zaidi ya 200.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.